Deuteronomy 23:19-20

19 aUsimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha ama chakula ama kitu kingine chochote ambacho waweza kupata riba juu yake. 20 bUnaweza kumtoza mgeni riba, lakini siyo nduguyo Mwisraeli, ili kwamba Bwana Mwenyezi Mungu wako akubariki katika kila kitu unachoweka mkono katika nchi unayoingia kuimiliki.

Copyright information for SwhKC